Alhamisi, 16 Mei 2013

ETI NI KWELI IRENE NDIYE MALKIA




baada ya mtoto wa kike kujichanganya katika anga la filamu za bongo, yasemekana yeye ndiye malkia wa ukweli wa movie za kibongo, na kwa sasa hata wakongwe wanaumwa vichwa juu yake, ila ati tatizo lake ni,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, ni saidieni wadau ni kweli au maneno ya town tu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni